...Ebana ee huyu jamaa hafai kabisa ni hatari kwa afya zetu anatisha kinoma noma....hichi kibao chake cha #SIKOMI# kimetia fora nakupata viewers wengi sana ama kweli hatukooooooomi........#Diamond Platnumz official........anaekubalika sana nchini, Africa mashariki, Africa ya kati , Africa nzima na hata Duniani koote....ni hatari sana huyu jamaa watanzania tunapaswa kujivunia uwepo wa Brother simba kutoka hapahapa Tz... kutoka kwa mnyama Samata hadi kwa brother simba mkali anaeunguruma Diamond platnumz hivyo Watanzania tumebarikiwa sana kuwa na wasanii wanaotuwakilisha katika sanaa ya muziki TANZANIA.........!!!!
Baada ya mnyama huyu kuinyakua tuzo iliotolewa na kipindi cha televisheni ya SOUND CITY (MVP) Hapo majuzi kati huko Nchini Nigeria mara baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hio ya sound city wanigeria hawakuipokea vizuri nakuanza kupiga kelele katika ukumbi
huo![]() |
Diamond platnumz - SIKOMI OFFICIAL VIDEO... |
No comments:
Post a Comment